Mpanda israel Mpanda israel Author
Title: UVCCM mkoa wa Mwanza whatsap group yachangia madawati wilaya ya ukerewe
Author: Mpanda israel
Rating 5 of 5 Des:
UVCCM Mkoa wa Mwanza WhatsApp Group wachangia Madawati wilaya ya Ukerewe* Mapema Leo Hii Umoja  wa Vijana Mkoa wa Mwanza kupitia group l...
UVCCM Mkoa wa Mwanza WhatsApp Group wachangia Madawati wilaya ya Ukerewe*

Mapema Leo Hii Umoja  wa Vijana Mkoa wa Mwanza kupitia group lao la WhatsApp Umekabidhi Tshs *315,000/=* _(Miatatu kumi na Tano elfu tu_) kwa Mkuu wa wilaya ya Ukerewe Ndg *Estomihn Fransis Chang’ah* Kama Mchango wao Kwaajili ya Kusaidia Upungufu wa Madawati Katika wilaya ya Ukerewe Mkuu wa wilaya Hiyo Amewashkuru Sana  vijana Wa Mkoa wa Mwanza Kupitia Umoja wa  Group la WhatsApp hasa Chief Admn *Hussein Egobano* na wengine kwa kuhamasisha  Mchango Huu

_Siyo Haba kwa hiki mlichojitoa Asiyeshukuru wa Kidogo hata akipewa kikubwa hatashukuru_

Amesema *UVCCM* Mkoa wa Mwanza wamefungua Njia Anakaribisha wadau wengine Wa Maendeleo  Kuweza Kuchangia Chochote watakachokuwanacho
Aidha Katibu  msaidizi wa CCM wa wilaya ya Ukerewe Ndg *Lazack Muya* Amewashukuru sana Waliochangia Kwa Namna moja au Nyingine lengo lilikuwa ni kufanikisha Amewaomba vijana  waendelee na Moyo huo Popote waliko na Mungu awaongezee pale walipotoa ,

Pia katibu msaidizi wa CCM wilaya ya Ukerewe  alimpongeza Kaimu katibu Mkuu wa UVCCM Taifa ndugu *Shaka Hamdu Shaka* kwa ubunifu alioutumia kuwaagiza makatibu wa  uvccm kata, kila kata wachangie dawati moja moja  huu ni mfano wa kuigwa.
  _*Kidumu Chama cha Mapinduzi*_

*Imetolewa na*
*Mwl Masatu Bure Salum*
_Ag Chief Admin_

About Author

Advertisement

Post a Comment

 
Top